Kamusi

 Kifuliiru ni lugha tajiri, yenye maneno mengi sana. Kuna yale ambayo watu wanaanza kusahau kwa sababu hawayatumii zaidi. Kwa hiyo, hakuna njia nyingine  inayo weza kutusaidia kwa kulinda lugha ao maneno yake, ila ni kuiandika tu. Wakati lugha inaandikwa, hata na vizazi vya baadaye vit apata namna ya kujifunza lugha hiyo.

Ndani ya k itabu hiki cha kamusi munakua maneno mojawapo yanayo weza kukusaidia kujifunza lugha ao kufundisha jamaa. Munapat ikana vilevile  picha kwa kila neno. Ni msaada kwako.

Ndeha.jpg

Téléchargements: 

Share